Saturday, July 15, 2017

WATANZANIA KUACHANA NA NGUO ZA MITUMBA-MAJALIWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  akingalia mitambo ya kutengeneza  Nguo katika Kiwanda cha NIDA kilichopo Jijini Dar es salaam. Waziri Mkuu  alifanya ziara katika kiwanda hicho Jumamosi 15 july 2017 kushoto anaye toa maelezo ni Mkurugenzi  Mkuu wa  Kiwanda cha kutengeneza  Nguo cha NIDA   Bwana  Muhammadhamza  Rafiki na kushoto  ni  Meneja Mkuu wa Kiwanda cha NIDA  Bwana   Muhammad  Waseem

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  katikati  akionyeshwa   Ubora wa Kanga zinazo tengenezwa hapa nchini katika kiwanda cha NIDA wakati alipofanya ziara Jumamosi 15 july 2017 katika kiwanda hicho kilichopo Jijini Dar es salaam    wanao muonyesha  kulia ni  Mkurugenzi  Mkuu wa  Kiwanda cha kutengeneza  Nguo cha NIDA  Bwana  Muhammadhamza  Rafiki na kushoto  ni  Meneja Mkuu wa Kiwanda cha NIDA  Bwana   Muhammad  Waseem.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa  katikati  akionyeshwa   Ubora wa Kanga zinazo tengenezwa hapa nchini katika kiwanda cha NIDA wakati alipofanya ziara Jumamosi 15 july 2017 katika kiwanda hicho kilichopo Jijini Dar es salaam,kulia ni  Mkurugenzi  Mkuu wa  Kiwanda  cha NIDA  Bwana  Muhammadhamza  Rafiki na kushoto  ni  Meneja Mkuu  NIDA  Bwana   Muhammad  Waseem.




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.