Thursday, February 7, 2019

BUNGENI LEO TAREHE 07.02.2019

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Urambo, Margreth Sitta kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Busanda, Lolesia Bukwimba kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Busanda, Lolesia Bukwimba kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Msalala, Ezekiel Maige kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Februari 7, 2019.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akiteta na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde, bungeni jijini Dodoma, Februari 7, 2019.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.