Wednesday, February 27, 2019

MAJALIWA ATEMBELEA HOSPITALI YA MWANANYAMALA JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiwa amempakata  mototo Natasha Chriswell wakati alipotembelea Kliniki ya Methadone  katika hospitali ya Mwananyamala wilayani Kinondoni, Februari 27, 2019.  Kulia ni mama wa mtoto huyo, Zaynab Hamisi  ambaye miaka saba iliyopita alikuwa ni muathirika  wa dawa za kulevya  na amepatiwa matibabu katika Kiliniki hiyo,  hivi sasa ni mzima, ameolewa na amebahatika kupata mtoto huyo.
Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa  akiwa amempakata  mototo Natasha Chriswell wakati alipotembelea Kliniki ya Methadone  katika hospitali ya Mwananyamala wilayani Kinondoni, Februari 27, 2019.  Kulia ni mama wa mtoto huyo, Zaynab Hamisi ambaye miaka saba iliyopita alikuwa ni muathirika  wa dawa za kulevya na  amepatiwa matibabu katika Kiliniki hiyo,  hivi  sasa ni mzima, ameolewa na amebahatika kupata mtooto huyo.  Wa tatu kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Dar es alaam, Paul Makonda  na wa pili kulia ni Mkuu wa kitengo cha Methadone hospitalini hapo, Dkt. Sosthenes Hongo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapa pole wagonjwa wakati alipotembelea wodi ya watoto katika Hospitali ya  Mwayamala wilayani Kinondoni, Februari 27, 2019. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapa pole wagonjwa wakati alipotembelea wodi ya watoto katika Hospitali ya  Mwayamala wilayani Kinondoni, Februari 27, 2019. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapa pole wagonjwa wakati alipotembelea wodi ya watoto katika Hospitali ya  Mwayamala wilayani Kinondoni, Februari 27, 2019. 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.