Tuesday, February 19, 2019

MAJALIWA AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA OFISI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akikagua ujenzi wa Ofisi  ya Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi huo, Februari 19, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akifurahia baada ya kuweka jiwe la msingi la Ujenzi wa Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, Februari 19, 2019. Kushoto ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia, Profesa Joyce Ndalichako na wapili kushoto ni Mbunge wa Buyungu, Christopher Chiza.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akikagua ujenzi wa Ofisi  ya Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi huo, Februari 19, 2019.  Wapili kulia ni mkewe Mary.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.