Tuesday, February 19, 2019

WAZIRI KAIRUKI ATETA NA BODI YA TAASISI YA SEKTA BINAFSI NCHINI (TPSF)

  •     Aihakikishia, Kuifanya Sekta Binafsi kuwa  chachu ya  Uwekezaji nchini.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Mhe. Angellah Kairuki (Mb), akisistiza umuhimu wa sekta binafsi nchini katika uwekezaji wakati alipokutana na Bodi ya Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), tarehe 18 Januari, 2019, jijini Dar es Salaam, kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Bodi hiyo Salum Shamte. 


Wajumbe wa Bodi ya Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), wakifuatilia majadiliano kati yao na  Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Mhe. Angellah Kairuki (Mb), wakati alipokutana na wajumbe wa Bodi hiyo tarehe 18 Januari, 2019, jijini Dar es Salaam. 
Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Salum Shamte akieleza umuhimu wa kuwa na muongozo wa marekebisho ya kanuni za udhibiti ili kuboresha mazingira ya biashara (Blueprint), kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Mhe. Angellah Kairuki (Mb), wakati alipokutana naBodi hiyo tarehe 18 Januari, 2019, jijini Dar es Salaam.




Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji), Mhe. Angellah Kairuki (Mb), akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa  Bodi ya Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), mara baada ya kukutana na Bodi hiyo tarehe 18 Januari, 2019, jijini Dar es Salaam.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.