Thursday, February 21, 2019

MAJALIWA AWAFUNDA VIONGOZI WA WILAYA YA BIHARAMULO

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkuu wa wilaya ya Biharamulo, Sada Malunde (wa pili kulia), Mkurugenzi  wa Halmashauri hiyo, Wende Ng’ahara (wa tatu kulia),Katibu Tawala wa wilaya hiyo, Agnes Rwakayonza (kushoto) na Katibu Tawala wa Mkoa huo, Profesa Faustine Kamuzora katika kikao cha ndani cha kuwafunda viongozi hao kilichofanyika  kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Februari 21, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkuu wa wilaya ya Biharamulo, Sada Malunde (wa pili kulia), Mkurugenzi  wa Halmashauri hiyo, Wende Ng’ahara (wa tatu kulia),Katibu Tawala wa wilaya hiyo, Agnes Rwakayonza (kushoto) na Katibu Tawala wa Mkoa huo, Profesa Faustine Kamuzora katika kikao cha ndani cha kuwafunda viongozi hao kilichofanyika  kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Februari 21, 2019.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.