Saturday, February 2, 2019

MAKATIBU WAKUU WATAKIWA KUHIMIZA MICHEZO KWA WATUMISHI

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge), Bi. Maimuna Tarishi akisalimiana na baadhi ya Timu ya Kuvuta Kamba ya Ofisi ya Waziri Mkmpira wa pete ya Ofisi ya Rais –UTUMISHI wakati wa Bonanza la michezo lililoandaliwa na Shirikisho la Michezo ya Wizara, Idara, Wakala wa Serikali na Ofisi za Wakuu wa Mikoa (SHIMIWI), kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma, tarehe 2 Februari, 2019, Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge), Bi. Maimuna Tarishi akisalimiana na baadhi ya Timu ya Kuvuta Kamba ya Ofisi ya Waziri Mkuu wakati wa Bonanza la michezo lililoandaliwa na Shirikisho la Michezo ya Wizara, Idara, Wakala wa Serikali na Ofisi za Wakuu wa Mikoa (SHIMIWI), kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma, tarehe 2 Februari, 2019, Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge), Bi. Maimuna Tarishi akiongea na Watumishi wa umma wakati wa Bonanza la michezo lililoandaliwa na Shirikisho la Michezo ya Wizara, Idara, Wakala wa Serikali na Ofisi za Wakuu wa Mikoa (SHIMIWI), na kufanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma leo, tarehe 2 Februari, 2019, Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge), Bi. Maimuna Tarishi (mwenye miwani) akiwaongoza watumishi wa Umma kuanza mbio za Pole katika uwanja wa Jamhuri   wakati wa Bonanza la michezo lililoandaliwa na Shirikisho la Michezo ya Wizara, Idara, Wakala wa Serikali na Ofisi za Wakuu wa Mikoa (SHIMIWI), na kufanyika Uwanja wa Jamhuri Dodoma, tarehe 2 Februari, 2019, Dodoma.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge), Bi. Maimuna Tarishi (mwenye miwani) akiwaongoza watumishi wa Umma katika  mbio za Pole katika viunga vya mji wa Dodoma wakati wa Bonanza la michezo lililoandaliwa na Shirikisho la Michezo ya Wizara, Idara, Wakala wa Serikali na Ofisi za Wakuu wa Mikoa (SHIMIWI), kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma, tarehe 2 Februari, 2019, Dodoma.
Kikosi cha Timu ya Mpira wa Miguu cha Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na viongozi wa Timu hiyo, wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa Bonanza la michezo lililoandaliwa na Shirikisho

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge), Bi. Maimuna Tarishi (mwenye miwani) akiwaongoza watumishi wa Umma kufanya mazoezi ya Viungo wakati wa Bonanza la michezo lililoandaliwa na Shirikisho la Michezo ya Wizara, Idara, Wakala wa Serikali na Ofisi za Wakuu wa Mikoa (SHIMIWI), kwenye Uwanja wa Jamhuri Dodoma, tarehe 2 Februari, 2019, Dodoma.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.