Wednesday, September 18, 2019

SERIKALI YAWAWEZESHA VIJANA 18,000 MAFUNZO YA KILIMO KUPITIA TEKNOLOJIA YA KITALU NYUMBA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Mhe. Saimon Ondunga mara baada ya kuwasili wilayani hapo kwa lengo la kutembelea Vitalu nyumba vilivyojengwa katika wilaya hiyo pamoja na kukagua maendeleo ya mafunzo kwa vijana kupitia Teknolojia ya kilimo cha Kitalu Nyumba (Green House).
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Viongozi wa Wilaya ya Chemba mara baada ya kuwasili Walayani hapo kwa lengo la kukagua maendeleo ya mafunzo kwa vijana kupitia teknolojia ya Kitalu Nyumba.
Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Mhe. Saimon Ondunga akieleza jambo kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama alipofanya ziara katika wilaya hiyo.
Baadhi ya Viongozi wa Wilaya ya Chemba wakimsikiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama (hayupo pichani) alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya mafunzo kwa vijana kupitia teknolojia ya Kitalu Nyumba katika wilaya hiyo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na wanagenzi walionufaika na mradi wa Kitalu Nyumba pamoja na wakazi wa Kata ya Kambi ya Nyasa kuhusu programu ya ukuzaji ujuzi kupitia teknolojia ya Kitalu nyumba.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akikagua sehemu ya kuvuta maji kutoka kwenye chanzo cha maji alipofanya ziara ya kukagua mafunzo kwa vijana kupitia teknolojia ya Kitalu Nyumba. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Chemba, Mhe. Saimon Ondunga.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na vijana walionufaika na mradi huo katika Kata ya Mnenia alipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya mafunzo kwa vijana hao.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akikagua miche ya Nyanya pamoja na mfumo wa umwagiliaji wa matone katika Kitalu Nyumba kimoja wapo kilichojegwa katika Kata ya Mnenia, Halmashauri ya Kondoa Mjini. Kushoto ni Diwani wa Kata hiyo Bw. Adam Ieria.
Afisa Kilimo wa Halmashauri ya Kondoa Bw. Juvenal Mvumi akipokea maagizo kutoka kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama kuhusu mradi huo alipotembea kwa lengo la kujionea maendeleo ya vijana waliopatiwa mafunzo ya kilimo kupitia teknolojia ya Kitalu Nyumba.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akiwa kwenye picha ya pamoja na Vijana walionufaika na Programu ya ukuzaji ujuzi kupitia teknolojia ya Kitalu Nyumba.


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.