Tuesday, September 24, 2019

WAZIRI KAIRUKI AIPA SIKU SABA TIC KUWAFIKIA WAWEKEZAJI WAZAWA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe.Angellah Kairuki akipokea zawadi ya kahawa kutoka kwa Meneja wa Kiwanda cha MCCCO Bw.Jonas Mbunda wakati wa ziara yake kiwandani hapo.
Sehemu ya wafanyakazi wa kiwanda cha kutengeneza kahawa cha Wilaya ya Mbinga cha MCCCO wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe.Angellah Kairuki (hayupo pichani) wakati akizungumza nao alipotembelea kiwandani hapo.
Fundi wa mitambo ya kukobolea kahawa katika kiwanda cha MCCCO, Kelvin Moses akimuonesha Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe.Angellah Kairuki namna kahawa inavyotengenezwa katika kiwanda cha kutengeneza kahawa cha MCCCO Wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe.Angellah Kairuki akisikiliza maelezo kuhusu namna ya kuhifadhi kahawa kutoka kwa Afisa Masoko wa kiwanda cha kutengeneza kahawa cha MCCCO Bw. David Haule katika kiwanda hicho kilichopo Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma.
Meneja wa Kiwanda cha kutengeneza Kahawa cha Wilaya ya Mbinga (MCCCO) Mhandisi Rabbian Uromi akitoa maelezo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe.Angellah Kairuki kuhusu mitambo ya kutengeneza mifuko (magunia) ya kuhifadhia kahawa katika kiwanda hicho kilichopo Mkoani Ruvuma wakati wa ziara yake Septemba 23, 2019.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe.Angellah Kairuki akikagua kahawa iliyokobolewa katika kiwanda cha kukotengeneza kahawa cha MCCCO kilichopo Wilaya ya Mbinga mkoani Songea wakati wa ziara yake kiwandani hapo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe.Angellah Kairuki akiangalia namna kahawa iliyokobolewa inavyohifadhiwa katika magunia yanayotengenezwa na kiwanda cha MCCCO wakati wa ziara yake kiwandani hapo.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe.Angellah Kairuki akizungumza na watumishi wa kiwanda cha kutengeneza kahawa cha DAE kilichopo katika Wilaya Mbinga alipotembelea kukagua mazingira ya wawekezaji nchini.Kulia aliyekaa ni Mkuu wa Wilaya ya Mbinga, Mhe.Cosmas Nshenyi


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.