Friday, September 27, 2019

MAAFISA VIUNGO WA AFYA MOJA WAPIGWA MSASA

Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali, Jimmy Matamwe akisisitiza umuhimu wa maafisa Viungo (hawapo pichani) kutekeleza Mpango Mkakati wa Afya moja nchini wakati wa warsha ya utekelezaji wa Mpango mkakati wa Afya moja kwa maafisa viungo wa Afya moja, mjini Morogoro, tarehe 27 Septemba, 2019. 
Mtaalamu wa masuala ya Afya Moja, Profesa, Dominic Kambarage akifafanua jinsi Mpango Mkakati wa Afya Moja ulivyotekelezwa hapa nchini wakati wa warsha  ya utekelezaji wa Mpango mkakati wa Afya moja kwa maafisa viungo wa Afya moja, mjini Morogoro, tarehe 27 Septemba, 2019. 
Mtaalamu wa masuala ya Afya Moja, Profesa, Japhet Killewo akifafanua jinsi dhana ya Afya Moja inavyofundishwa kuanzia ngazi ya astashahada  hadi shahada hapa nchini,  wakati wa warsha ya utekelezaji wa Mpango mkakati wa Afya moja kwa maafisa viungo wa Afya moja, mjini Morogoro, tarehe 27 Septemba, 2019. 
Mshauri elekezi wa masuala ya Afya Moja, John Kunda  akifafanua jinsi HRH2030 kupitia Chemonics International, inavowezesha utekelezaji wa Mpango Mkakati wa Afya moja nchini,  wakati wa warsha ya utekelezaji wa Mpango mkakati wa Afya moja kwa maafisa viungo wa Afya moja, mjini Morogoro, tarehe 27 Septemba, 2019
Mtaalamu wa masuala ya Afya Moja, Profesa,Robinson Mdegela akifafanua jinsi dhana ya Afya Moja inavyofundishwa kuanzia ngazi ya astashahada  hadi shahada hapa nchini,  wakati wa warsha ya utekelezaji wa Mpango mkakati wa Afya moja kwa maafisa viungo wa Afya moja, mjini Morogoro, tarehe 27 Septemba, 2019. 
Mkurugenzi wa Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali, Jimmy Matamwe (mwenye Kaunda suti nyeusi) akiwa  na maafisa viungo wa afya moja pamoja na waratibu wa Afya moja nchini wakati wa warsha ya utekelezaji wa Mpango mkakati wa Afya moja kwa maafisa viungo wa Afya moja, mjini Morogoro, tarehe 27 Septemba, 2019. 


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.