Saturday, September 28, 2019

ZIARA YA WAZIRI KAIRUKI MGODI WA MADINI YA GRAPHITE RUANGWA -LINDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe.Angellah Kairuki pamoja na Naibu Waziri ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angeline Mabula wakiangalia moja ya aina ya madini ya graphite walipotembelea eneo la mgodi huo lililopo Kijiji cha Matambalale kilichopo Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi.
Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Ruangwa Bw. Barnabans Essau akisalimia wakati wa kikao hicho.
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Bw. Hashim Mgandilwa akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa kikao hicho cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika masuala ya Uwekezaji Mhe.Angellah Kairuki pamoja na Naibu Waziri ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angeline Mabula katika ofisi zake Mkoani Lindi
Naibu Waziri ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angeline Mabula akizungumza jambo wakati wa kikao cha majumuisho cha ziara ya kutembelea miradi ya uwekezaji katika Wilaya ya Ruangwa mkoni Lindi pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika masuala ya Uwekezaji Mhe.Angellah Kairuki (aliyekaa kulia) kilichofanyika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo.
Meneja wa Kampuni ya Uchimbaji madini ya Lindi Jumbo Paul Shauri akiwaonesha Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika masuala ya Uwekezaji Mhe.Angellah Kairuki pamoja na Naibu Waziri ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angeline Mabula moja ya eneo la mfano lililochibwa kwa ajili ya madini aina ya UNO (Graphite)  walipotembelea katika eneo la mgodi katika kijiji cha Matambalale Kusini Wilaya ya Ruangwa Lindi Septemba, 27, 2019.
Meneja wa Kampuni ya Uchimbaji madini ya Lindi Jumbo Paul Shauri akionesha michoro ya muonekano wa eneo la mgodi wa madini aina ya uno (Graphite) wakati wa ziara ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika masuala ya Uwekezaji Mhe.Angellah Kairuki pamoja na Naibu Waziri ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angeline Mabula.
Naibu Waziri ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angeline Mabula akizungumza na washiriki wa kikao cha majumuisho ya ziara ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe.Angellah Kairuki walipokutana katika Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika masuala ya Uwekezaji Mhe.Angellah Kairuki pamoja na Naibu Waziri ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angelline Mabula wakiwa katika ziara ya kukagua eneo lililotengwa kwa ajili ya uchimbaji wa madini aina ya uno (Graphite) lililopo Wilayani Ruangwa Lindi Septemba 27, 2019.




EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.