Saturday, September 21, 2019

KATIBU MKUU MWALUKO AUNGANA NA WATUMISHI WA OFISI YA WAZIRI MKUU KUMPONGEZA MKURUGENZI KWA KUSTAAFU

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu),Bi. Dorothy Mwaluko akimkabidhi  zawadi aliyekuwa Mkurugenzi, Idara ya Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu Cleophas  Ruhumbika, ambayo ni Picha yake aliyochorwa mstaafu huyo , wakati wa kumpongeza kwa kustaafu utumishi wake wa Umma leo, tarehe 21, Septemba, 2019.
Kaimu Mkurugenzi  Idara ya Uwekezaji  Ofisi ya Waziri Mkuu,  Aristides Mbwasi, akilishwa keki na aliyekuwa Mkurugenzi  Idara ya Uwekezaji , Cleophas  Ruhumbika ambaye amestaafu,  wakati wa kumpongeza kwa kustaafu utumishi wake wa Umma leo, tarehe 21, Septemba, 2019
Baadhi ya Watumishi Ofisi ya Waziri Mkuu wakifuatilila tukio la kumuuga rasmi aliyekuwa Mkurugenzi  Idara ya Uwekezaji , Cleophas  Ruhumbika ambaye amestaafu,  wakati wa kumpongeza kwa kustaafu utumishi wake wa Umma  rasmi, leo, tarehe 21, Septemba, 2019
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu), Dorothy Mwaluko akieleza  jinsi aliyekuwa Mkurugenzi, Idara ya Uwekezaji  Ofisi ya Waziri Mkuu, Cleophas  Ruhumbika, (kushoto kwake) anapaswa kuwa mfano wa kuigwa katika kuchapa kazi kwa ufanisi na weledi,  wakati wa kumpongeza kwa kustaafu rasmi utumishi wake wa Umma leo, tarehe 21, Septemba, 2019.
Aliyekuwa Mkurugenzi  Idara ya Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu, Cleophas  Ruhumbika ambaye amestaafu rasmi utumishi wake wa Umma leo, tarehe 21 Septemba, 2019, akieleza jambo kwa watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, wakati wa kumpongeza kwa kustaafu,  (kushoto kwake) ni   Kaimu Mkurugenzi  Idara ya Uwekezaji  Ofisi ya Waziri Mkuu,  Aristides Mbwasi.
Aliyekuwa Mkurugenzi, Idara ya Uwekezaji  Ofisi ya Waziri Mkuu, Cleophas  Ruhumbika, akionesha zawadi ya  Picha yake iliyochorwa, mara baada ya kukabidhiwa wakati wa kumpongeza kwa kustaafu rasmi utumishi wake wa Umma leo, tarehe 21, Septemba, 2019.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu)Bi. Dorothy Mwaluko,   akilishwa keki na aliyekuwa Mkurugenzi  Idara ya Uwekezaji , Cleophas  Ruhumbika ambaye amestaafu,  wakati wa kumpongeza kwa kustaafu rasmi utumishi wake wa Umma leo, tarehe 21, Septemba, 2019


EmoticonEmoticon

Note: Only a member of this blog may post a comment.